Habari Mpya :
Home » » HIZI NDO FURAHA ZA WATU BAADA YA KUTANGAZIWA NA ZUMA HALI YA MAANDELA INAENDELEA VIZURI

HIZI NDO FURAHA ZA WATU BAADA YA KUTANGAZIWA NA ZUMA HALI YA MAANDELA INAENDELEA VIZURI

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, July 26, 2013 | 8:06 AM


Well-wishers sing and dance to the sound of an accordion outside the Mediclinic Heart Hospital where former South African President Nelson Mandela is being treated in Pretoria, South Africa Friday, July 19, 2013. Hospital visitors say Nelson Mandela smiled and nodded Thursday - his 95th birthday - and South Africans celebrated upbeat reports about the former president's health after weeks of worrying that he was on the verge of death. (AP Photo/Ben Curtis) 


Toka pretoria nje kidogo hospitali ya MEDCLINIC  alipolazwa mkombozi wa ubaguzi wa rangi Nelson mandela watu walionekana katika mtazamao tafoauti baada ya kutangaziwa na rais jacob zuma kwamba afya ya kiogozi uyo wa zamani na mtetezi wa haki za waafrika ya kusini inatengemaa kila siku inavyosonga mbele japo bado yuko kitandani.Taarifa izo zimeibua furaha kubwa na vyimbo mbalimbali za kufurahia taarifa iyo ambayo kila mtu dunian anaifurahia kuisikia na kuzidi kumuombea kiongozi uyo aweze kuepukana nna mtihani huo wa maraaadhi unaomsumbua kwa sasa akiwa kalazwa zaid ya mwezi sasa katika hospital ya Medclinic heart hospital mjin pretoria.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania