Habari Mpya :
Home » , , » MSIMAMO WA LIGI YA UINGEREZA(BARCLAYS PL)MATOKEO YA MECHI ZA JANA NA MECHI ZITAZOCHEZA LEO

MSIMAMO WA LIGI YA UINGEREZA(BARCLAYS PL)MATOKEO YA MECHI ZA JANA NA MECHI ZITAZOCHEZA LEO

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Wednesday, March 26, 2014 | 5:21 AM

Hiki ndo kinachoendelea katika ligi yenye msisimko mkubwa barani ulaya ligi ya uingereza.Apo jana katika matokeo ya mechi zilizochezwa Manchester ilijikuta ikilala na kipigo cha magoli Matatu dhidi wa wahasimu wao wakubwa Manchester City.Arsenal ilipata draw na swansea wakati newcastle ikiambulia kipigo cha goli tatu bila dhidi ya everton.



            
Huu ndo msimamo wa ligi kwa ujumla na mechi zitakazocheza leo tarehe 26/3/2014.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania