Habari Mpya :
Home » » MASJID ISTIQAMA KUFUNGULIWA LEO SINGIDA

MASJID ISTIQAMA KUFUNGULIWA LEO SINGIDA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Saturday, June 15, 2013 | 3:39 AM

Hii ni habari njema kwa waumini wote wa dini ya kiisalam Tanzania kwamba leo Masjid Istiqama unafunguliwa rasmi mkoan singida.Taarifa za awali zilisema mgeni Rasmi alitegemewa kuwa Rais Mstaafu Alhaji Ali Hassani Mwinyi ila imesemekana kwamba atoweza itikia mualiko huo baada ya kuwa mgonjwa.Masjid Istiqama ndo msikiti wa kwanza kwa ukubwa na mzuri mkoani singida..
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania