Habari Mpya :
Home » » FRASHA MSANII WA KUNDI LA PUNITY KENYA AMBAYE UFUNIKA SURA YAKE KWA MIWAN NA KOFIA AKIWA NA FAMILIA YAKE

FRASHA MSANII WA KUNDI LA PUNITY KENYA AMBAYE UFUNIKA SURA YAKE KWA MIWAN NA KOFIA AKIWA NA FAMILIA YAKE

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Saturday, June 15, 2013 | 9:04 AM

Huyu ndo Frasha mkali wa miondoko ya Hiphop nchini kenya akiwakilisha kundi la Punity.Frasha apo awali aliweza kujenga hisia za watu kwamba yawezekana akawa kipofu wa jicho moja kwa ile style yake ya kuziba sura yake kwa kofia na miwani lakini ameamua kujianika leo hii na Familia yake na kwamba yeye sio kipofu bali ile ndo style yake katika ulimwebgu wa Muziki..
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania