Leo ikiwa ni tarehe 7 ya mwezi wa Nne mwaka 2014 watanzania wameungana tena kuomboleza siku aliyoaga dunia muhasisi wa taifa la zanzibar na tanzania hayati Abed Karume amabe alifariki mnamo mwaka 1972 akiwa makamu wa rais wa kwanza wa tanzania na rais wa kwanza wa zanzibar.Tukio hili limekuja wakati ambao muungano kati ya tanganyika na zanzibar ukiwa katika kitimoto ambapo tukio hili kwa imani ya wengi litasaidia muungano kuzidi kudumu baada ya nchi zote mbili kuitikia wito wa siku ya leo yani karume day kama siku ya mapumziko.
No comments:
Post a Comment