Msanii nguri katika tasnia ya muziki afrika mashariki na Kati mzee Ngurumo amefariki dunia jana katika hospital ya Taifa ya Muhimbili ambapo alikuwa kalazwa akiwa anasumbuliwa na maradhi.Mzee ngurumo ni mmoja kati ya wanamuziki wakongwe na waliodumu na band moja ya muziki kwa miaka mingi (Msondo Ngoma)
No comments:
Post a Comment