Pigo lingine katika tasnia ya filamu Tanzania.Tasnia ya filamu nchin tanzania imempoteza mtayarishaji wa filamu Adamu kuambiana ambae amefariki dunia leo akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukari.Adamu amefariki njiani akiwa anapelekwa hospital kwa ajili ya matibabu.Mungu ilaze Roho yake mahali pema ameen.
No comments:
Post a Comment