Imerepotiwa na jarida nchini Congo kwamba ndege ya shirika la. Ndege ya kukodi nchin umo iliyokuwa imebebaa abilia 16 apo juzi imedondoka na kusababisha vifo via watu 18 baada ya mamba aliyekuwa kawekwa katika hifadhi ya mizigo akiwa katika begi la michezo. Taarifa zaid zimeeleza kwamba mamba uyoo aliweza kutoka katika begi ilo na kutambaa kuelekeaa sehemu ya abilia kitendo kilichosabisha abili kuanza kukimbia ovyoo na kusababisha ndege kukosaa balance ya uzito wa upande abilia walipokuwa wanakimbilia kisha kuanguka na kusababisha vifo ivyoo via watu 18.
No comments:
Post a Comment