Habari Mpya :
Home » , , » (HUSSEIN MACHOZI)HIKI NDO ALICHOZUNGUMZA KUHUSU KIMYA CHAKE

(HUSSEIN MACHOZI)HIKI NDO ALICHOZUNGUMZA KUHUSU KIMYA CHAKE

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Thursday, March 20, 2014 | 4:45 AM

Hiki ndo alichotueleza msanii hussein machozi kupitia mahojiano yetu na yeye kupitia Viber.
AFRICASTEP. Hussein ni kweli umehamia kenya?
Hussein: HApana sijahamia kenya ila niko shule nasoma kujiweka kimataifa zaid.
AFRICASTEP: Vp kuhusu muziki ndo umeacha au?
Hussein: Muziki uko kwenye damu nimekaa kimya kuwapa nafasi waongeaji ila niko jikoni napika kitu hatari soon mtakipata.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania