Hivyi ndo umati wa watu ulivyojitokeza leo katika kushuhudia shangwe za kili music tour ndani ya viwanja vya jamuhuri dodoma.Picha inaonyesha pande nne za viwanja vya jamuhuri na jinsi watu walivyomiminikaa katika burudani ambayo imeongozana na wasanii mahiri tanzania wa muzik wa Bongo flava kama mdada shilole, weusi, ben pol, izo business n.k na taarabu malkia wa mipasho khadija kopa.Burudani hizi zinatembezwa katika mikoa tofauti kwa udhamin mkubwa wa Kampuni ya bia Tanzania Kilimanjaro.
No comments:
Post a Comment