Habari Mpya :
Home » » (SINGIDA)FISI AKAMATWA MCHANA MCHANA KWEUPE SOKON SINGIDA.

(SINGIDA)FISI AKAMATWA MCHANA MCHANA KWEUPE SOKON SINGIDA.

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, October 24, 2014 | 2:36 PM

Ni tukio la ajabu kuwahi tokea hapa mkoani singida  leo majira ya alaasiri fisi amekutwa maeneo ya sokon akiwa amejifichaa.Kitendo cha fisi kuonekana fisi uyoo kimeleta tafrani hapa mkoani hasa wengi wakimuusisha na maswala ya ushirikina.Polisi wamemuhai fisi uyo kabla wananchi hawajamzuru zaid na kumpeleka ofisi za mali asili..

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania