Ni tukio la ajabu kuwahi tokea hapa mkoani singida leo majira ya alaasiri fisi amekutwa maeneo ya sokon akiwa amejifichaa.Kitendo cha fisi kuonekana fisi uyoo kimeleta tafrani hapa mkoani hasa wengi wakimuusisha na maswala ya ushirikina.Polisi wamemuhai fisi uyo kabla wananchi hawajamzuru zaid na kumpeleka ofisi za mali asili..
(SINGIDA)FISI AKAMATWA MCHANA MCHANA KWEUPE SOKON SINGIDA.
Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, October 24, 2014 | 2:36 PM
Labels:
Events
No comments:
Post a Comment