Habari Mpya :
Home » » MANDELA AFUMBUA MACHO NA KUTABASAMU BAADA YA KUAMBIWA UJIO WA BARAKA OBAMA NA MWANAE

MANDELA AFUMBUA MACHO NA KUTABASAMU BAADA YA KUAMBIWA UJIO WA BARAKA OBAMA NA MWANAE

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Wednesday, June 26, 2013 | 8:02 AM

Toka southafrika imeripotiwa kwamba rais mstaaafu Nelson mandela ameweza kufumbua Macho na kutabasamu baada ya mwanae ZINDIZ MANDELA kumwambia kuhusu ujioo wa rais wa marekani Baraka Obama.Rais Baraka Obama ndo rais wa kwanza mweusi kumiliki ikuru ya Taifa la marekani.

Nelson Mandela
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania