i
Habari toka kwa mtoto wa Mandela ajukanae ZENANI MANDELA ambae apoo majuzi alilipotiwa akisema MADIBA anaendelea vizuri kwa sasa.Nelson mandela ambaye ndo mkombozi wa southafrica
hasahasa aliyewakomboa katika ubaguzi wa RANGI(APARTHEID)dhidi ya mbaburu.Habari za kwamba
Mandella anaendelea vizuri zimerudisha furaha upya na sherehe mbalimbali zimeonekana zikifanyika SOWETO pemben mwa JOHNESBURG ambako ndo mapigano ya ukombozi yallifanyika wakati huo.
Habari toka kwa mtoto wa Mandela ajukanae ZENANI MANDELA ambae apoo majuzi alilipotiwa akisema MADIBA anaendelea vizuri kwa sasa.Nelson mandela ambaye ndo mkombozi wa southafrica
hasahasa aliyewakomboa katika ubaguzi wa RANGI(APARTHEID)dhidi ya mbaburu.Habari za kwamba
Mandella anaendelea vizuri zimerudisha furaha upya na sherehe mbalimbali zimeonekana zikifanyika SOWETO pemben mwa JOHNESBURG ambako ndo mapigano ya ukombozi yallifanyika wakati huo.


No comments:
Post a Comment