Habari Mpya :
Home » » MAMILIONI YA WASICHANA NA WANAWAKE BADO WAPO HATARINI KUTOKANA NA TOHARA

MAMILIONI YA WASICHANA NA WANAWAKE BADO WAPO HATARINI KUTOKANA NA TOHARA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Tuesday, July 23, 2013 | 8:37 AM


(File photo) Cutting is nearly universal in Somalia, Guinea, Djibouti and Egypt, a U.N. study finds.
 Imeelezwa kwamba umoja wa mataifa umefanikiwa kwa asilimia kubwa sana kutokomeza kitendo icho
cha kuwatahili wasichana na wanawake ambacho ufanywa na baadhi ya makabila afgrica yakiwa na dhana ya kumuepusha mtoto wa kike na vetendo vya ngono akiwa bado mdogo na kutunza bikira za wasichana.Japo umoja wa mataifa umefanikiwa kwa asilimia kubwa lakini imesemekana bado wanawake wengi na watoto wa kike hasa wa africa na wale wa mashariki ya kati bado wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na kitendo icho cha tohara kuendelea kufanywa japo sio kwa asilimia kubwa lakini kwa umoja wa kimataifa kitendo icho ni kinyume cha haki za kibinaadamu.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania