Habari Mpya :
Home » » H.BABA NA FLORAH MVUNGI WAMPATA MTOTO WA KIKE NA KUMUITA TANZANITE.

H.BABA NA FLORAH MVUNGI WAMPATA MTOTO WA KIKE NA KUMUITA TANZANITE.

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Thursday, September 12, 2013 | 1:47 PM


Tanzanite
Wasanii maarufu nchini H Baba na mkewe Frolah Mvungi wamefanikiwa kupata mtoto wa kike jana jioni majira ya saa 12:30 katika hospitali ya
Maria Stope iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam.

Kama unakumbuka hapo awali H Baba alisema kama akifanikiwa kupata mtoto wa kike au wa kiume basi atampa jina la 'Tanzanite' ambalo ni madini yanayopatikana Tanzania pekee duniani, hatimaye wanandoa hao wamefanikiwa kumpata mtoto wa kike na kumpatia jina la Tanzanite.

                   


H BABA NA FLORA MVUNGI
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania