Habari Mpya :
Home » , , , » HATIMAE MSEVEN ASAINI MSWADA UNAOKATAA NDOA ZA JINSIA MOJA

HATIMAE MSEVEN ASAINI MSWADA UNAOKATAA NDOA ZA JINSIA MOJA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Monday, February 24, 2014 | 7:33 AM

Uganda's Museveni signs anti-gay bill
                   Rais Yoweri MsevenAKISAINI MSWADA WA KUPINGA NDOA ZA KISHOGA

UGANDA'S ANTI-GAY LAWS
                         BAADHI YA MASHOGA WAKILIA BAADA YA TUKIO ILO

Hatimae Mseven nae asaini mswada wa kukataa ndoa za Kishoga katika nchi ya uganda mbali na shinikizo
la serikali ya marekani kutaka jamii iyo ya mashoga au wanaume wa jinsia moja kuoana kama ilivyo chi za magharibi ikiwepo marekani na uingereza na kwamba serikali iyo isipofanya ivyo basi itavurruga mahusiano kati yake na taifa ilo kubwa ulimwenguni. Rais mseven amesaini mswada huo tayari kuwa sheria katika
ikulu yake uko mjini Entebe Kil 32 toka jiji la Kampala leo tarehe 24/02/2014.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania