Habari Mpya :
Home » , » SWAHILIWOOD YAZIDI KUKUA NA KUPEWA HESHIMA KUBWA SOKONI

SWAHILIWOOD YAZIDI KUKUA NA KUPEWA HESHIMA KUBWA SOKONI

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Saturday, February 22, 2014 | 5:24 AM

SWAHILIWOOD Premiere Night. Guests take their time before the big screen to watch Mdundiko film launched on Thursday at Century Cinemax – Oysterbay, Dar es Salaam. All the films were screened to give guests their first hand experience on the quality and message delivered from the Swahiliwood project. (Photos by a correspondent) 


Ijuma ya juzi ilikuwa ni siku ambayo (MFDI) au media for development international ilifungua sherehe za SwahiliWood kwa kuachia filamu mpya za kitanzania za kiswahili.Filamu tatu kati ya zile zilizoachiwa live
kwa rangi nzuri kabisa ni pamoja na SUNSHINE ambayo Star wake mkubwa ni msanii Ben Pol,zingine ni Mdundiko na NETWOK.Muungano huo wa Filamu za kiswahili wa SwahiliWood pia iyo siku uliweza kutamka rasmi juu ya hati miliki ya kazi za wasanii na kuwaomba wasanii wote Tanzania sio msanii wa BongoFlava na wale wa BONGOMOVIE kuungana na kuakikisha wasanii wa tanzania wanapata hatimiliki ya kazi zao.Kati ya wasanii wakongwe waliousindikiza usiku huo katika tasnia ya Filamu ni pamoja na Jb,Cheni,Shilole na Ray kigosi.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania