Habari Mpya :
Home » » MAANDALIZI YA SHEREHE YA MIAKA 95 KUZALIWA NELSON MANDELA APO KESHO

MAANDALIZI YA SHEREHE YA MIAKA 95 KUZALIWA NELSON MANDELA APO KESHO

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Wednesday, July 17, 2013 | 8:55 AM

Rais wa zamani nchini afrika Nelson Mandela akiwa bado kitandani hospitali mjini PRETORIA taarifa zimeripotiwa kwamba maandalizi ya kusherehekea mazazi yake miaka 95 Iliyopita zimeanza kufanyika apo jana na kesho ndo siku na tarehe rasmi ya kusherehekea siku ya kuzalia Nelson mandela na mkombozi wa taifa la afrika ya kusini.Imeelezwa kwamba katika sherehe izo kauli mbiu ni kila mtu anahaki ya kupata chakula,maradhi Na elimu.Pia imeelezwa kwamba Rais jacob Zuma kesho atatembelea familia maskini za watu weupe wanaoishi mjini pretoria mji aliolazwa Nelson Mandela akisumbuliwa na matatizo ya upumuaji katika mapafu..
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania