Habari Mpya :
Home » » TETEMEKO KUBWA LA UA NA KUWAACHA WATU BILA MAKAZI GANSU CHINA

TETEMEKO KUBWA LA UA NA KUWAACHA WATU BILA MAKAZI GANSU CHINA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Wednesday, July 24, 2013 | 8:26 AM

An aerial picture shows the view of Minxian after a 6.6 magnitude earthquake hit the county on Monday, Dingxi
Hizi ni baadi ya ya picha zinazoonyesha sehemu ya nchi iliyoathirika na tetemeko kubwa la aradhi lilitokea juzi july 22/2013 tetemeko ni katika provence ya Gansu nchini chinia ambalo limekaadidiliwa kuwa na ukubwa wa 6.6 magnitude.Imeripotiwa kwamba mpaka sasa idadi ya watu waliopoteza maisha imefikia 95 na bado zoezi la kuwatoa watu waliofunikwa na kifusi linaendelea.
A woman is seen beside the ruins of a damaged house after a 6.6 magnitude earthquake hit Minxian county on Monday, Dingxi
 Haya ni maafa makubwa yaliyosababishwa na tetemeko ilo kubwa apo juzi  katika Gansu Provence
Paramilitary policemen search for victims after a 6.6 magnitude earthquake hit Minxian county on Monday, Dingxi
kikosi cha polise wa wakiendelea ma zoez la kuwaokoa au kutoa milli wa watu walionaswa na kifusi
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania