Habari Mpya :
Home » , , » KIONGOZI WA UPINZANI UGANDA KIZZA BESIGYE AKAMTWA TENA

KIONGOZI WA UPINZANI UGANDA KIZZA BESIGYE AKAMTWA TENA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Wednesday, July 24, 2013 | 8:51 AM


Ugandan opposition leader Kizza Besigye sits in a police cell in Uganda's capital Kampala January 19, 2012. REUTERS/Courtesy FDC/Handout 

Kiongozi uyo nguri wa masuala ya siasa nchini uganda na mpinzani mkubwa wa rais Toweri Mseven
bwana kizza besigye apo juzi imeripotiwa kakamatwa tena na kuwekwa chini ya ulinzi kwa kile kilichoeleza kwamba alikuwa na njama za kuanzisha vurugu za maandamano kutokana na Kodi iyowekwa juu ya mabomba ya maji na mafuta ya taa.Imeelezwa kwamba week vyama vya upinzani nchini umo vilikuwa na lengo la kufanya maandamano ya kupinga kodi iyo na kwamba kabla tendo ilo lifanyike askari waliweza kumkamata kiongozi uyo ili kusitisha maandamano ayo.kaimu wa polise Patrick Onyango amesema sheria inaturuhusu kumkamata yeyote atakayetaka kuvunja amani.Besigye ambaye tangu 2011 amekuwa akionekana mshindi hasa katika maandamano yoyote yale hasa baada ya kuonekana mshindi wa uchaguzi wa urais wa mwaka 2011 kimempelekea kuwa katika uangalizi mkubwa sana kutokana na kukubalika na wengi nchini Uganda.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania