Habari Mpya :
Home » , » BBM KUWEKWA KATIKA ANDROID NA IPHONE TAREHE 21 SEPTEMBER

BBM KUWEKWA KATIKA ANDROID NA IPHONE TAREHE 21 SEPTEMBER

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Thursday, September 19, 2013 | 2:49 AM

Hii ni kutoka kampuni ya watengenezaji wa simu za brand na system ya blackberry dunian kwa ushirikiano wa makampuni yote yanayotengeneza simu zenye system za andoid na iphone kwamba ile huduma ya BBM amabayo apo mwanzo ilikuwa ni kwa ajili wa watumiaji wa simu zenye system za blackberry tuu kuanzia tarehe 21 mwezi huu wa tisa huduma iyo itakuwa ni kwa wote yani watumiaji wa blackberry,android na iphone.Hii ikiwa ni moja ya ukuwaji wa technologia ya mawasiliano dunian watu watakuwa na uwezo wa kuwasiliana kupitia mtandao huo maarufu wa BBM ambapo apo mwanzo ulikuwa ni kwa watumiaji wa blackberry tuu..

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania