Habari Mpya :
Home » » SKY WAY NIGHT CLUB SINGIDA YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA MBWEMBWE

SKY WAY NIGHT CLUB SINGIDA YATIMIZA MWAKA MMOJA KWA MBWEMBWE

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Saturday, September 14, 2013 | 9:37 AM

Club maarufu mkoan singida Sky Way night  club leo imeadhimisha mwaka moja tangu kufunguliwa kwake apo kwaka jana.Maadhimisho hayo yamefanyika katika ufukwe wa bwawa la singidani na kuhudhuliwa na watu wengi sana.Michezo mbalimbali ni moja kati ya sehemu ya sherehe iyo ambapo kulikuwa na shindano la PoolTable na mshindi kapata Caton ya Bia na pia shindano la kunywa Bia mfurulizo ambapo mshindi kashinda Tshirt ya TBl.Sherehe izo pia zimedhaminiwa na kampuni ya bia ya Tbl.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania