Habari Mpya :
Home » » DIAMOND ASEMA "SHOW ILIYOANDALIWA BELGIUM NI UZUSHI SINA MKATABA NA WATU WA HUKO

DIAMOND ASEMA "SHOW ILIYOANDALIWA BELGIUM NI UZUSHI SINA MKATABA NA WATU WA HUKO

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Tuesday, November 26, 2013 | 1:28 PM

kuna Matangazo yanaendelea Kuwa eti
Tareh 07/12/2013 nna show mnjini Brussels Belgium... taarifa
hizo ni zauongo, SIZAKWELI!!!... Sina Mkataba wala Makubaliano
na yoyote ya kuwa na Show huko tareh hiyo... Hivyo my Luvly
Fans toka Brussels na nchi za jirani msije kuhudhuria maana
Sintokuwepo......!

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania