Habari Mpya :
Home » » HAYA NI MOJA KATI YA MATUKIO MAKUBWA YA HISTORIA KWA MSANII DIAMOND

HAYA NI MOJA KATI YA MATUKIO MAKUBWA YA HISTORIA KWA MSANII DIAMOND

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Tuesday, November 26, 2013 | 1:45 PM

1:Baada ya rais wa wasafi kushikana mkono na rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete
2:Diamond akihutubia katika mkutano wa fursa mbele ya rais Jakaya Kikwete
3:Diamond alipoudhuria harusi ya Peter wa Psquare uko Nigeria na kukutana na watu tofauti maarufu afrika.
4:Alipokutana na Mchezaji wa mpira maarufu dunian Adibayo
5:Alipokutana na Director wa Video ya Alingo pamoja na Personality ya psquare.
6:Alipopata nafasi ya kufanya remix ya My number 1 na msanii Davido to Nigeria.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania