Habari Mpya :
Home » , » MISS INTERCOLLEGE SINGIDA KUFANYIKA LEO

MISS INTERCOLLEGE SINGIDA KUFANYIKA LEO

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, November 22, 2013 | 3:01 AM

Ni shindano la kumtafuta Mrembo atayeshika taji la mrembo bora toka katika vyuo vinavyopatikana hapa mkoan singida.Shindano linatarajiwa kufanyika leo ukumbi wa Aqua Vitae kuanzia majira ya saa mbili usiku ambapo burudani inatarajiwa kutolewa na yule mfalme wa mahaba Kassimu Mganga.Shindano hili kinafanyika kwa udhamin mkubwa wa kampuni ya bia ya Tanzania TBL chini ya kinywaji chao Red's.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania