Habari Mpya :
Home » , » AJARI YA GARI YATOKEA SARANDA WILAYANI MANYONI

AJARI YA GARI YATOKEA SARANDA WILAYANI MANYONI

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, December 13, 2013 | 11:49 PM

Leo majira ya Asubuhi katika Mlima wa saranda uliyopo nje kidogo ya wilaya ya Manyoni mkoani singida imetokea ajari baada ya Gari ndogo kuligonga trela la scania.Imeripotiwa kwamba gari ndogo iliyokuwa nyuma ya gari ilo kubwa imeshindwa kumiliki brake zake vizuri na kuligonga kwa nyuma trela ilo na kusababisha msongamano mkubwa uliosababisha foleni katika barabara iyo ya kutoka manyoni kuelekea Mkoan Dodoma.Taarifa zilizotufikia ni kwamba baada ya saa chache gari ilo dogo ambalo limearibika upande wake wa mbele liliweza kutolewa pemben na kuruhusu huduma za barabara iyo kuendelea.Hakuna aliyepoteza maisha wala majeruhi.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania