Habari Mpya :
Home » , , » MSANII BEBE COOL AMKUMBUKA NELSON MANDELA

MSANII BEBE COOL AMKUMBUKA NELSON MANDELA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Thursday, December 12, 2013 | 3:54 PM

Msanii Bebe Cool toka nchini Uganda amesema hawezi sahau siku alipokutana na mzee mandela maana kwake ilikuwa ni siku kubwa sana baada ya kuonana na kiongozi uyo mkubwa wa Africa na kushikana nae mkono London wakati wa sherehe za kutimiza Miaka 90.Bebe cool akiendelea kusema"Sikuamin nilipoonana na mtu uyo ambae kwangu ni muhimu sana cha kushangaza zaid Mandela alikuwa na busala na pia alikuwa mcheshi sana"Alisema Bebe Cool.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania