Habari Mpya :
Home » , , » ANGALIA TATOO YA MANDELA ALIYOCHORA RAPPA THE GAME KAMA HESHIMA KWA MANDELA

ANGALIA TATOO YA MANDELA ALIYOCHORA RAPPA THE GAME KAMA HESHIMA KWA MANDELA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Tuesday, December 10, 2013 | 11:14 PM

Rappa maarufu dunian THE GAME ni moja kati ya watu ambao ukimkagua mwili wake huwezi kuta sehemu iliyowazi ni kwasababu moja tu mwili mzima kauchora tatoo tofauti.Apo Juzi ikiwa dunia inatoa heshima za mwisho kwa Hayati Nelson Mandela aliyefariki dunia mnamo tarehe 5 december 2013 yeye ameamua kutoa heshima zake kwa kuchora tatoo ya Mandela mgongoni.Mbali na Tatoo iyo ya mandela THE GAME anatatoo za watu wengi mashuhuri na ambao kwake amesema ni watu muhimu sana mfano Tatoo ya sura ya Rais Obama shingoni kwake na zingine vyingi.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania