Habari Mpya :
Home » » MISIRI CAIRO"BOMU LA UA 12 NA KUJERUHI 100 KARIBU NA KITUO CHA POLISI

MISIRI CAIRO"BOMU LA UA 12 NA KUJERUHI 100 KARIBU NA KITUO CHA POLISI

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Tuesday, December 24, 2013 | 4:25 AM
























Mlipuko mkubwa wa bomu lilikuwa limetegwa katika gari umetokea uko Cairo misiri mapema jumanne ya leo 24/13 katika makao makuu ya polisi ya mji wa Nile Delta kaskazin mwa jjin la Cairo.Bomu ilo limeua watu 12 na kuumiza  zaid ya 100 na kusababisha ualibifu wa nyumba nyingi.









The interim govenrment blamed the explosion in Egypt's Nile Delta town of Dakahlyia on the Muslim Brotherhood, but the Brotherhood condemned the attack.
serikali iliyopo madarakani kwa sasa imelishutuma na kulihusisha na jaribio ilo la kigaidi kundi la Muslim BrotherHood lakini kwa upande wa Muslim Brotherhood limekanusha shutuma izo.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania