Habari Mpya :
Home » , » JOSE MARA✌UJASILIA MALI ZAID

JOSE MARA✌UJASILIA MALI ZAID

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Saturday, January 25, 2014 | 12:58 AM

Msanii wa Band maarufu nchini Tanzania ya Mapacha watatu akiwa ndo kiongozi wa Band JOSE MARA ameanzisha kampuni yake mwenyewe ya FM EXPRESS EVENT ikiwa inashughulika na ukodishaji wa vifaa vya muziki katika matukio mbalimbali kama Harusi na mikutano.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania