Habari Mpya :
Home » , » WATU 50 WALIOKWAMA KATIKA BARAFU NDANI YA ATLANTIC WAOKOLEWA KWA HELICOPTER

WATU 50 WALIOKWAMA KATIKA BARAFU NDANI YA ATLANTIC WAOKOLEWA KWA HELICOPTER

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Thursday, January 2, 2014 | 1:44 AM

Ni Ajari ya MV akademiks Shokaishly ambayo iliyokwama katika barafu ndani ya bahari ya ATLANTIC week moja iliyopita.Alhamis siku ya boxing day team ya uokoaji ikiwa na helicopter ilitumwa kwa ajili ya kwenda kufanya zoez la uokoaji wa watu 50 waliokwama katika Barafu.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania