Habari Mpya :
Home » , , » WAZIRI WA FEDHA TANZANIA(WILLIAM MGIMWA) AFARIKI DUNIA AKIWA AFRICA YA KUSINI

WAZIRI WA FEDHA TANZANIA(WILLIAM MGIMWA) AFARIKI DUNIA AKIWA AFRICA YA KUSINI

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Thursday, January 2, 2014 | 5:59 AM

Waziri wa fedha nchin Tanzania Mh William augustoa mgimwa amefariki dunian jana akiwa nchini Africa ya kusini.Naibu waziri wa fedha amelidhibitisha ilo baada ya kupata taarifa izo toka kwa madaktari wa hospital ya Mediclinic iliyopo pretoria nchini africa ya kusini.Mgimwa alipelekwa nchini africa ya kusini haraka kwa matibabu ya ugonjwa wa moyo uliokuwa unamsumbua.Salam kutoka Ikulu ya Tanzania Rais Jakaya mrisho kikwete kasema Mgimwa amefariki wakatik Taifa linamuitaji sana.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania