Habari Mpya :
Home » , » AJALI NYINGINE YATOKEA MIKESE DODOMA JANA

AJALI NYINGINE YATOKEA MIKESE DODOMA JANA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, February 7, 2014 | 1:59 AM

Ni ajali mbaya kabisa ya Bas la Summry ambalo apo jana limegongana ana kwa ana na Lori kijiji cha mikese nje kidogo ya mji mkoa wa dodoma.Katika ajali iyo basi la summry na lori yote yalibinuka upande wa nje ya barabara na kusababisha vifo vya watembea kwa miguuu waliokuwa wakipita wakati tukio ilo likitokea.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania