Habari Mpya :
Home » , , » MWIZI WA MTANDAO WA M-PESA AKAMATWA

MWIZI WA MTANDAO WA M-PESA AKAMATWA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Monday, February 10, 2014 | 5:19 AM

Wale wezi ambao wamekuwa sugu sana katika kufanya wizi unaohusisha mtandao wa kutuma na kutoa pesa wa M-pesa wa chapa ya kampuni ya Vodacom.Leo mwizi mmoja kakamatwa baada ya kutaka kumtaperi wakala wa M-pesa singida mjini na kujikuta akiingia ndani ya mikono ya polisi na kupelekwa kituo cha polisi cha mkoan hapa kujibu mashtaka.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania