Habari Mpya :
Home » , , , » ✪PAPA FRANCIS✪NINA JEZI NYINGI KWA SABABU NAUPENDA MPIRA

✪PAPA FRANCIS✪NINA JEZI NYINGI KWA SABABU NAUPENDA MPIRA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Wednesday, February 26, 2014 | 5:04 AM

Huu ndo ukweli wa mapenzi makubwa aliyonayo mtumishi wa mungu kiongozi wa kanisa la RC dunian PAPA francis na mchezo wa kandanda au mpira. Papa francis akiwa  mmoja kati ya mashabiki wakubwa wa mpira ameweza kupewa jezi nyingi sana na team mbali mbali dunian kuliko mtu yeyote yule ikiwa ni jezi za Team za Taifa na Vilabu kama anavyoonekana katika picha alikabidhiwa Jezi izo tofauti tofauti.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania