Habari Mpya :
Home » , , » PICHA ZA MAZISHI NA HESHIMA KUBWA YA MWISHO ALIYOPEWA KUMLO DUMOR ALIYEKUWA MWAHABARI WA BBC

PICHA ZA MAZISHI NA HESHIMA KUBWA YA MWISHO ALIYOPEWA KUMLO DUMOR ALIYEKUWA MWAHABARI WA BBC

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Monday, February 24, 2014 | 8:57 PM

Toka Acra ghana baada ya siku tatu mfurulizo za maombelezo hatimae apo jana Nguri wa habari wa television BBC Kumlo dumor aliyefariki dunia mnamo tarehe 18 january 2014 kwa mshtuko wa moyo ameweza agwa rasmi na kusaliwa kwa dhehebu lake la Rc pia kusaliwa kimira kwa tamaduni za watu wa Ghana na na kuhifadhiwa katika nyumba yake ya milele.Kumlo Dumor alijipatia umaarufu mkubwa katika umahiri wake wa utangazaji na kujipatia sifa kubwa baran Africa na dunia nzima.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania