Habari Mpya :
Home » , , » ROBERT MUGABE ATIMIZA MIAKA 90 YA KUZALIWA NA MIAKA 34 YA UONGOZI

ROBERT MUGABE ATIMIZA MIAKA 90 YA KUZALIWA NA MIAKA 34 YA UONGOZI

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, February 21, 2014 | 9:19 AM

Leo ikiwa ni Tarehe 21 february 2014 nguri katika siasa na rais wa kwanza nchi ya zimbabwe Mh Robert Mugabe atimiza Miaka 90 tangu azaliwe.Robert mugabe akiwa ndo rais mkubwa na mkongwe barani Africa na dunian tangu apate madaraka toka kwa wazungu mwaka 1980 mpaka leo ametimiza miaka 34 ya utawala wake na imeelezwaa kwamba sherehe za kutimiza umri wake huo zitafanyika apo kesho kutwaa ambapo $1M zimeandaliwa kutumika katika sherehe izo.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania