Gari mbili za gongana muda si mrefu mkoan Singida na kusababisha folen ya magari.Ni Gari mbili moja ni gari ya Abili yani Daladala na tax aina ya Corola ambapo imeelezwa kwamba Mwenye Daladala aliingia kimakosa katika upande ambao sio wake.Mwenye Tax ametueleza kwamba yeye hana tatizo na mwenye Daladala zaid anaomba haki ifuatwe na aweze kulipiwa matengenezo ya Gari yake.


No comments:
Post a Comment