Hi ni moja ya story ziilizoweza kushika nafasi ya juu zaid katika mitandao mbalimbali dunian kote baada ya wasichana mapacha wote wazawa wa marekani katika shaakira White na pacha wake Zaakira Mitchell
toka jimbo la south carolina USA wote wakiwa na umri wa miaka 20 tu walijikuja wakijifungua siku moja katika hospital moja na wote wakiwa chini ya uangalizi wa Dr mmoha kwa jina ni Dr James Ferguson mnamo tarehe 24 july mwaka 2012.Tukio la kushangza ilo lilianza baada ya mapacha hao ndani ya week moja wote kupata ujauzito kitendo ambacho kiliwashangaza wengi na hakikuwa kitendo cha kupangwa alisema Shaakira.Wakati wa kujifungua alitakiwa kuanza kujifungua Shaakira majiya ya saa 5:30 lakini kwa bahati mbaya Dr james Ferguson wakati huo alikuwa akihudumia mgonjwa mwingine ivyo akachelewa kumzalisha Shaakira lakin bila kutegemea ndugu yake Zaakira alijifungua mwanae Kadin Zaaka na baadab ya saa moja pacha wake White alijifungua mapacha Landon Elijah na London Elise.Hiki ndo alichokisema
Dr James Ferguson kuelezea tukio ilo la maajabu.(“I’ve never seen twins being pregnant at the same time!” said Dr. James Ferguson.
Dr. Ferguson is still getting over the fact the sisters just shared their pregnancies. He said he couldn’t believe it when they both showed up Tuesday and went into labor.)

SHAAKIRA NA ZAAKIRA BAADA YA KUJIFUNGUA

WAKIWA NA WATOTO WAO

WAKIWA NA WAUME ZAO
toka jimbo la south carolina USA wote wakiwa na umri wa miaka 20 tu walijikuja wakijifungua siku moja katika hospital moja na wote wakiwa chini ya uangalizi wa Dr mmoha kwa jina ni Dr James Ferguson mnamo tarehe 24 july mwaka 2012.Tukio la kushangza ilo lilianza baada ya mapacha hao ndani ya week moja wote kupata ujauzito kitendo ambacho kiliwashangaza wengi na hakikuwa kitendo cha kupangwa alisema Shaakira.Wakati wa kujifungua alitakiwa kuanza kujifungua Shaakira majiya ya saa 5:30 lakini kwa bahati mbaya Dr james Ferguson wakati huo alikuwa akihudumia mgonjwa mwingine ivyo akachelewa kumzalisha Shaakira lakin bila kutegemea ndugu yake Zaakira alijifungua mwanae Kadin Zaaka na baadab ya saa moja pacha wake White alijifungua mapacha Landon Elijah na London Elise.Hiki ndo alichokisema
Dr James Ferguson kuelezea tukio ilo la maajabu.(“I’ve never seen twins being pregnant at the same time!” said Dr. James Ferguson.
Dr. Ferguson is still getting over the fact the sisters just shared their pregnancies. He said he couldn’t believe it when they both showed up Tuesday and went into labor.)
SHAAKIRA NA ZAAKIRA BAADA YA KUJIFUNGUA
WAKIWA NA WATOTO WAO
WAKIWA NA WAUME ZAO


No comments:
Post a Comment