Habari Mpya :
Home » » KILIMO KWANZA/SINGIDA RANCH ENZI IZOO MAENEO YA SAGARA SINGIDA

KILIMO KWANZA/SINGIDA RANCH ENZI IZOO MAENEO YA SAGARA SINGIDA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Wednesday, February 13, 2013 | 4:34 AM























Hii ndo Ranch ya Taifa letu la tanzania enzi izoo
kabla ya kugeuzwa kuwa eneo la kilimo kwanza,seheme ni kubwa sana
na eneo ni kubwa kiasi kwamba watu wa kawaida na baadhi ya viongozi
wa vyama nyetu hapa nchini wana zaid ya kilometer 5 na kuendelea.
picha ya kwanza ni Mwenyekiti wa kijiji cha sagara akiwa kambemba
mwanafunzi wakati tumefanya ziara ya kilimo kwanza kijijin hapo sagara mkoa wa singida.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania