Habari Mpya :
Home » » SAID MECK SADIKI ATANGAZA RASMI BARABARA ZITAKAZOFUNGWA WAKATI WA MAPOKEZI YA RAIS OBAMA

SAID MECK SADIKI ATANGAZA RASMI BARABARA ZITAKAZOFUNGWA WAKATI WA MAPOKEZI YA RAIS OBAMA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Sunday, June 30, 2013 | 11:22 AM

Ikiwa zimebaki saa kadhaa kabla ya rais kuingia nchin tanzania leo hii mkuu wa mkoa wa Dar es salaam bwana Said meck Sadiki ametangaza rasmi kwamba kuna baadhi ya barabara zitafungwa ifikakapo kesho majira ya saa sita mchana.Miongo mwa barabara zitakazo fungwa na barabara ya Posta kuelekea Hotel ya kilimanjaro na ile ya kuelekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu nyerere.Ivyo amewaomba wananchi wote hasahasa wasafiri wa ndege kuwahi uwanjani kabla ya saa sita maana barabara zitakuwa zimefungwa..Hatua iyo inafanyika ili kuondoa msongomano na kuweza kumpokea Rais obama kwa utulivu mkubwa...
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania