Habari Mpya :
Home » , , » OBAMA ACHEZA NA KUFURAHIA MAPOKEZI YA WATANZANIA

OBAMA ACHEZA NA KUFURAHIA MAPOKEZI YA WATANZANIA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Monday, July 1, 2013 | 8:11 AM

Imeelezwa kwamba katika ziara ya Rais baraka obama wa marekani barani afrika ambayo imeanzia nchini senegal na kisha kwenda southafrika na atimae leo tarere 01/07/2013 kumaliza Ziara yake Tanzania.Obama ameinyesha furaha kubwa kutokana na ukarimu na wa watanzania na njinsi walivyompokea kwa furaha na kwa hamu kubwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwl nyerere na alipofika Ikuru akiwa na mwenyeji wake Rais Jakaya mrisho kikwete..

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania