Imedaiwa kwamba Makhubo anaweza akawa alijinyonga kwa blanketi lake lakini bado askari wanafanya uchunguzi kujua amejiua kwa kutumia nini.Kituo cha television nchini apo cha ENCA kimeripoti kwamba walishitaki wameudhulia mahakamani kusubili hukumu ya itakayomkabili Makhubo bila ya kujua kwamba mtun uyo alishajinyonga tayari.
Home »
News
 » MBAKAJI MAARUFU AFRIKA YA KUSINI AKUTWA KAJINYONGA MAABUSU KABLA YA KUFIKISHWA KIZIMBANI
MBAKAJI MAARUFU AFRIKA YA KUSINI AKUTWA KAJINYONGA MAABUSU KABLA YA KUFIKISHWA KIZIMBANI
Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, July 26, 2013 | 7:27 AM
Imedaiwa kwamba Makhubo anaweza akawa alijinyonga kwa blanketi lake lakini bado askari wanafanya uchunguzi kujua amejiua kwa kutumia nini.Kituo cha television nchini apo cha ENCA kimeripoti kwamba walishitaki wameudhulia mahakamani kusubili hukumu ya itakayomkabili Makhubo bila ya kujua kwamba mtun uyo alishajinyonga tayari.
 

 

No comments:
Post a Comment