Habari Mpya :
Home » , , » HII NDO HALI HALISI ILIVYOKUWA JANA ZIMBABWE KATIKA UPIGAJI KURA WA RAIS NA WABUNGE

HII NDO HALI HALISI ILIVYOKUWA JANA ZIMBABWE KATIKA UPIGAJI KURA WA RAIS NA WABUNGE

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Thursday, August 1, 2013 | 7:58 AM


Robert Mugabe voting - 31 July 2013  



Apo jana uchaguzi wa kumchagua Rais na wabunge umefanyika tena kwa amani baada ya ule wa maika mitano iliyopitaa baada ya fujo kutokea na watu kupoteza maisha katika uchaguzi huo. RaisRobert Mugabe ana waziri Mkuu Morgan Tsvangiraiwakiwa ndo wagombea wapinzani wa kiti cha urais.Imeripotiwa kwamba hali ya hewa ya upigaji kura apo jana umekwenda vizuei na kwamba             uchaguzi wa mwaka huu kwa ujumla umeenda kwa amani kuanzia kampeni zenyewe zilifanywa kwa amani japo matukio ya kawaida yanahusiana na vitendo vya rushwa pamoja na wizi wa kura.


Zimbabweans queue to cast their votes in the country's general elections in Goromonzi, rural Zimbabwe Wednesday 31 July 2013
Katika Mji mkuu wa Harare watu walijitokeza kwa wingi katika kufanya tendo ambalo ni haki ya kila mzimbabwe na pia imeelezwa kwamba  zoez zima kwa ujumla limefanyika kwa amani na limekuwa tumaini kubwa kwa kila mzimbambwe kwamba laweza leta matunda mazuri katika maisha yao yajayo.

Zimbabweans wait to cast their votes in presidential and parliamentary elections in Harare, Wednesday 31 July 2013 Kundi la wazee pia limepewa kipaumbele kikubwa katika uchaguzi na kundi ilo pia limepewa nafasi yao ya kipekee katika kushiriki katika zoezi ilo la kuchagua rais na mpunge.

A presidential ballot - Zimbabwe 31 July 2013
Wagombea Kiti cha Urais
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania