Habari Mpya :
Home » , , » ALIYETENGENEZA BUNDUKI YA AKA 47 MIKHAIL KALASHNIKOV AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 94

ALIYETENGENEZA BUNDUKI YA AKA 47 MIKHAIL KALASHNIKOV AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 94

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Tuesday, December 24, 2013 | 9:51 AM

Mbunifu aliyetengeneza Bunduki ya AKA 47 bwana Mikhail Kalashnikov amefariki dunia akiwa kalazwa hospital uko urusi bada ya kuugua muda mrefu.Mbunifu uyoo aliyetengeza Bunduki iyoo ameweza kuweka histori kubwa baada ya bunduki iyo kutumika kwa zaid ya karne sita na kuwa moja ya bunduki mahiri sana hasa zinazotumika katika vita nyingi na mpaka karne ya leo ya 21 AKA 47 imekuwa ni bunduki bora na yenye ubunifu mkubwa.Kabla hajafariki bwana Mikhail Kalashnikov alisikitishwa na bunduki yake kutumiwa vibaya na vikundi vya kigaidi.Mikhail amefariki jana akiwa na umri wa miaka 94

PICHA:Mikhail Kalashnikov akiwa kabeba Bunduki Yake AKA 47.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania