Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps, Diresh Solanki, akimpa tuzo msanii bora wa kiume katika tasnia ya filamu nchini, Jacob Steven 'JB' wakati wa utoaji wa tuzo hizo zilizofanyika mwaka huu na wadhamin wakiwa ni Steps.Kwa upande wa JB hii ni moja kati ya ndoto zake kuelekea kuwa legendary katika tasnia ya uigizaji.
HII NI MOJA YA NDOTO ZA MSANII "JB" KUELEKEA KUWA LEGENDARY
Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Tuesday, December 24, 2013 | 3:09 AM
Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps, Diresh Solanki, akimpa tuzo msanii bora wa kiume katika tasnia ya filamu nchini, Jacob Steven 'JB' wakati wa utoaji wa tuzo hizo zilizofanyika mwaka huu na wadhamin wakiwa ni Steps.Kwa upande wa JB hii ni moja kati ya ndoto zake kuelekea kuwa legendary katika tasnia ya uigizaji.


No comments:
Post a Comment