Habari Mpya :
Home » , » AJARI MBAYA YA GARI YA NOAH 12 WAFARIKI IKUNGI SINGIDA

AJARI MBAYA YA GARI YA NOAH 12 WAFARIKI IKUNGI SINGIDA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Monday, January 20, 2014 | 12:44 AM

Ikiwa zimepita siku kadhaa baada ya Basi la mtei kuchomwa moto maeneo ya njia panda singida leo majira ya asubuhi gari ya abiria aina ya Noah imepata ajari mbaya baada ya kuwa katika spidi iliyosababisha dereva kushindwa kumiliki mwendo kasi wa gari ilo na kujikuta likibinuka na kusababisha mahafa ayo yaliyopoteza maisha ya zaid ya watu 12 waliokuwemo ndani ya gari ilo akiwemo dereva na msaidizi wake.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania