Habari Mpya :
Home » , , » BAS LA GONGANA NA TRENI MAENEO YA WILAYA YA MANYONI MKOAN SINGIDA

BAS LA GONGANA NA TRENI MAENEO YA WILAYA YA MANYONI MKOAN SINGIDA

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, February 28, 2014 | 7:20 AM

Ni niajali mbaya ya bas la bunda bus service ambayo imetokea maeneo ya manyoni baada ya kugongana na treni iliyokuwa inapita barabaran apo. Kwa mujibu wa habari tulizozipata ni kwamba dereva wa basi la bunda bus service alikuwa katika mwendo kasi kiasi ambacho alishindwa kufanikiwa kupunguza mwendo kabla ya kufika karibu na njia ya treni na wakati huo treni pia ilikuwa katika mwendo wa kawaida sana ila haikuwa rahisi kuzuia ajali iyo maana tayari basi lilikuwa limeishaingia katika mwelekeo wa treni. Katika ajali iyo wawili wamefariki apoapo na wengine 25 majeruhi.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania