Habari Mpya :
Home » , , , » IVYI NDO OSTADH JUMA ALIVYOMDHALILISHA PNC MITANDAONI

IVYI NDO OSTADH JUMA ALIVYOMDHALILISHA PNC MITANDAONI

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Friday, February 28, 2014 | 7:57 AM

NI baada ya ya msanii PNC kuamua kutafuta suluhisho kati yake na meneja wake wa zamani ✪ostadhi juma na musoma✪ kwa kumuomba msamaha na kuomba aman itawale ili waendelee kufanya kazi pamoja, kilichotokea baada ya tendo Ilo meneja wake uyo ameamua kuchukua video na picha za tukio ilo na kuweka katika mtandao wa instagram kumdhalilisha msanii uyo. Kitendo icho kimelaaniwa na kila mtu hasa mashabiki wakubwa wa msanii Pnc. Hizi ni baadhi ya picha alizoziweka msanii Kitale kukemea kitendo alichofanyiwa Pnc na kigogo uyo.

Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania