Habari Mpya :
Home » , , , » PSPF INATALAJIA KUANDAA SEMINA DAR ITAKAYO WAELIMISHA WASANII JUU YA HAKI MILIKI

PSPF INATALAJIA KUANDAA SEMINA DAR ITAKAYO WAELIMISHA WASANII JUU YA HAKI MILIKI

Imeandikwa na Shamsi Mohamed on Saturday, February 22, 2014 | 6:36 AM



Mfuko wa hifadhi wa (PSPF)umetamka kwamba apa karibuni utakuwa na semina mkoa wa Dar es salaam.
Semina iyo ambayo walengwa wake wakubwa watakuwa ni wasanii wa Tanzania wa muziki kwa ujumla na dhumuni la semina iyo litakuwa ni kutoa elimu kwa wasanii ya Haki miliki na umuhimu wake katika kulinda na kufaidika na kazi zao.Akizungumza Meneja mahusiano msaidizi wa Pspf  ndugu Matilda Nyallu kasema lengo haswa la semina iyo ni kuwaelimisha wasanii wote kwa ujumla juu ya haki zao ambapo semina iyo imepewa jina (Amka music WorkShop)ambapo Mayor wa Ilala anatalajiwa kuwa mgeni rasmi katika semina iyo.
Share story hii kwa marafiki :

No comments:

Post a Comment

 
FOR WEB AND BLOG DESIGNERS : Call 0658184797
Copyright © 2011. AFRICA STEP - All Rights Reserved
Template Modify by Eddie Sucre
Proudly powered by Teknohama Tanzania